Pichani Juu:Saada Mkuya Ambaye ni waziri wa Fedha wa Tanzania
MUHIMU;.. LEO JIONI NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI ZITAWASILISHA BAJETI ZAO ZA 2014/2015;
Nchi za Afrika Mashariki leo zinawakilisha bajeti zao za serikali kwa mwaka 2014-2015 katika Mabunge yao, chini ya utaratibu waliojiweka wa kuwakilisha Bajeti hizo katika siku moja huku Mbeyafm Redio tutakuletea Matangazo ya Moja kwa Moja kutokea Bungeni, Dododma kwenye Shughuli hiyo.
>> Nchini Tanzania Waziri wa Fedha wa Tanzania, Saada Mkuya atawasilisha bajeti ya trilioni 19.6 katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mjini Dodoma.
MUHIMU;.. LEO JIONI NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI ZITAWASILISHA BAJETI ZAO ZA 2014/2015;
Nchi za Afrika Mashariki leo zinawakilisha bajeti zao za serikali kwa mwaka 2014-2015 katika Mabunge yao, chini ya utaratibu waliojiweka wa kuwakilisha Bajeti hizo katika siku moja huku Mbeyafm Redio tutakuletea Matangazo ya Moja kwa Moja kutokea Bungeni, Dododma kwenye Shughuli hiyo.
>> Nchini Tanzania Waziri wa Fedha wa Tanzania, Saada Mkuya atawasilisha bajeti ya trilioni 19.6 katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mjini Dodoma.
>> Nchini Kenya Waziri wa Fedha wa Nchi hiyo Henry Rotich
atawasilisha bungeni Jijini Nairobi bajeti ya mwaka 2014/2015 ya
shilingi trilioni 1.8 za Kenya ikiwa ni bajeti kubwa katika historia ya
nchi hiyo.
>> Huko Uganda Waziri wa Fedha Maria Kiwanuka naye hii leo atawasilisha bajeti ya serikali ya mwaka 2014/2015 ya shilingi trilioni 14 za Uganda katika bunge la nchi hiyo huku kipaumbele kikiwa ni miundombinu.
>> Huko Uganda Waziri wa Fedha Maria Kiwanuka naye hii leo atawasilisha bajeti ya serikali ya mwaka 2014/2015 ya shilingi trilioni 14 za Uganda katika bunge la nchi hiyo huku kipaumbele kikiwa ni miundombinu.

Picha Kushoto Waziri wa Fedha Kenya Henry Rotich
Post a Comment