
Dr Askwar Hilonga kulia akipokea tuzo kama mbunifu wa mradi wa maji Royar academy engineering(taasisi ya Uhandisi ya Uingereza)
Mbunifu kutoka Tanzania atapatiwa Dola 38000 kwa ajili ya mradi wake wa maji ambao una tumia mchanga na kano na kuyafanya maji yaweze kutumika.
Mbunifu huyo amesema fedha hizo zita msaidia kusaidia upatikanaji wa maji nchini Tanzania kwa asilimia 70.
Hisani ya Picha Salimu Kikeke
Post a Comment