Kamati utendaji ya Simba leo ime msimamisha kazi mwenyekiti wake Ismail Aden Rage ikimshutumu kukosa uadilifu kukiuka maadili ya klabu.
Hadi sasa Rage hajapatikana kujibu shutuma dhidi yake;Ingawa hali klabuni hapo yadaiwa kuwa tete,Huku mashabiki na wadau wa michezo wakidai maelezo.
Na:Sr
Near Liganga
HALI NI TETE KLABU YA SIMBA,RAGE BENCHI!!!
Title: HALI NI TETE KLABU YA SIMBA,RAGE BENCHI!!!
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Kamati utendaji ya Simba leo ime msimamisha kazi mwenyekiti wake Ismail Aden Rage ikimshutumu kukosa uadilifu kukiuka maadili ya klabu. Had...
Post a Comment