HAKIKA NAWA AMBIENI KUNA TOFAUTI KUBWA KATI YA KIAZI NA TAMBAZI!
Kwa wale walio wahi kuchimba viazi masalia vilivyo baki wakati wa msimu wa kuchimba! Mvua ikisha nyesha kuna viazi huanza kujitokeza....
Nahapo usipo kuwa makini Unaweza ukawa Una Chimba Tambazi Ukazani ni Kiazi! Lakini kwa Wataalam Ukisha ya tazama majani tuu una jua Kiazi ni kipi na Tambazi ni lipi!
Na Leo Tulejee Maneno hayo!
Mjumbe
Mbeya
Post a Comment