Unknown Unknown Author
Title: SAPRAAAIZI:DKT HARISON MWAKYEMBE AGEUKA "FAZA KRISMAS" KWA WASAFIRI WA MIKOANI;WARUDISHIWA NAULI ZAO!!
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Katika kuelekea kusherekea sikukuu za kris mas na mwaka mpya waziri wa uchukuzi Dkt Hrison Mwakyembe amefanya ukaguzi wa tiketi kwa mabas...

Katika kuelekea kusherekea sikukuu za kris mas na mwaka mpya waziri wa uchukuzi Dkt Hrison Mwakyembe amefanya ukaguzi wa tiketi kwa mabasi mbali mbali yaendayo mikoani ili kubaini mabasi yaliyo toza gharama kubwa za nauli katika kipindi hiki cha kris mas na mwaka mpya.
   Dkt Mwakyembe akifanya Ukaguzi mwenyewe ndani ya Basi

Baadhi ya mabasi yaliyo kamatwa kwa makosa ya kuzidisha nauli ali amuru kurudishiwa nauli zilizo Zidi kwa abiria sambamba na faini ya shilingi Laki mbili na nusu kwa kila basi lilo fanya kosa hilo.
picha

na Sanga Festo
@Mjumbe sr

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top