Meli ya Australia imo njiani kuelekea Mashariki ya Antarctica kwa ajili ya kukwamua meli ya wanasayansi iliyokwama kwenye theluji tangu siku ya jumanne.Awali juhudi za uokoaji zilifanywa na wavuja theluji wa Uchina na Ufaransa lakini walikwama kutokana na unene wa theluji.
Wanasayansi wapatao sabini na nne, ,watalii na wafanyakazi wa meli hiyo wapo kwenye meli hiyo iliyokwama inayoitwa Shokaiskiy.Meli hiyo ilikua ikitumiwa na taasisi ya Australasian Antarctic Expedition kufuatiliia njia ya mtafiti Douglas Mawson aliyesafiri kwenye njia hiyo karne iliyopita.Shokaiskiy imejaa chakula cha kutosha na hakuna hatari hii kwa mujibu wa timu ya uokoaji.
source:bbc swahili
Na MJUMBE jr
Morogoro
Home
»
»Unlabelled
» AUSTRALIA:JITIHADA ZA KUNASUA MELI ILIYO KWAMA KWENYE SARUJI ZINA ENDELEA!
About Author
The part time Blogger love to blog on various categories like Web Development, SEO Guide, Tips and Tricks, Android Stuff, etc including Linux Hacking Tricks and tips. A Blogger Template Designer; designed many popular themes.
Advertisement
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

Post a Comment