
Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akishuka kwenye Ndege, Uwanja wa Ndege wa Sumbawanga baada ya kuwasili leo kwa ajili ya kuanza ziara ya siku 21, katika mikoa ya Rukwa, Katavi na Kigoma

Kinana na Karume wakiaga wananchi katika Uwanja wa Ndege wa Sumbawanga

Kinana akiwasili kwenye Ofisi ya CCM mkoa wa Rukwa kuzungumza na Kamati ya Siasa ya mkoa.
Mjumbe Jr
Morogoro
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.