Kwa ujumla hali ya Miundo mbinu katika wilaya ya Ludewa bado sio Nzuri sana,hasa wakati huu wa msimu wa Mvua Barabara nyingi zime Bomoka na Hata kusababisha aza kubwa kwa wasafiri ndani ya wilaya watokao na waingiao.
Hali hii ilipelekea madereva kusitisha huduma kwa muda ili kushinikiza Ukarabati wa barabara hiyo,ambayo Mpaka Leo Mchana Magari yame anza kutoa Huduma tena.Kutokana na matengenezo ya barabara hii.
(Picha na Maktaba yetu)
MJUMBE Sr
LUDEWA/AMANI
Post a Comment