Sintofahamu juu ya Soko la Mwanjelwa Jijini Mbeya imetatuliwa baada ya kufanyika
Makabidhiano kwa Mkandarasi Mpya Nandra Engineering Construction Co.! Mstahiki Meya wa Jiji la Mbeya, Athanas Kapunga ameeleza kuwa Ujenzi utakamilika rasmi baada ya miezi 8.. huku Ujenzi wa Mwanzo kabisa ulianza Februari 25, 2010, chini ya Mkandarasi Tanzania Building
Works Company Limited aliyeshindwa kukamilisha ujenzi huo kwa Matatizo yake binafsi na aliamua kuondoka eneo la Ujenzi huku kazi ikiwa haijakamilika.
MJUMBE Sr
Makabidhiano kwa Mkandarasi Mpya Nandra Engineering Construction Co.! Mstahiki Meya wa Jiji la Mbeya, Athanas Kapunga ameeleza kuwa Ujenzi utakamilika rasmi baada ya miezi 8.. huku Ujenzi wa Mwanzo kabisa ulianza Februari 25, 2010, chini ya Mkandarasi Tanzania Building
Works Company Limited aliyeshindwa kukamilisha ujenzi huo kwa Matatizo yake binafsi na aliamua kuondoka eneo la Ujenzi huku kazi ikiwa haijakamilika.
MJUMBE Sr

Post a Comment