Zikiwa zimebaki siku chache fainaliza kombe la Dunia zianze nchini
Brazil wawakirishi wa bara la Afrika Cameroon leo wameingia katika
migogoro kati ya wachezaji na viongozi baada ya Wachezaji kugoma kupanda
ndege hadi watakapo lipwa posho zao.
Mgomo huo wa wachezaji umetokea leo wakatika timu hiyo ikijiandaa kukwea pipa ili ikajiunge na wapinzani wao katika michuano hiyo inayo fanyikia Nchini Brazil kwa mwaka huu.
Cameroon ipo katika kundi A ambolo linaongozwa na wenyeji wafainali hizo Brazil, Maxico na Croatia.
Ndege ilitarajiwa kuondoka Yaounde Saa 3:00 asubuhi kwenda Brazil, wakati Cameroon inacheza mechi yake ya ufunguzi Ijumaa na Mexico.
MJUMBE sr
Mgomo huo wa wachezaji umetokea leo wakatika timu hiyo ikijiandaa kukwea pipa ili ikajiunge na wapinzani wao katika michuano hiyo inayo fanyikia Nchini Brazil kwa mwaka huu.
Cameroon ipo katika kundi A ambolo linaongozwa na wenyeji wafainali hizo Brazil, Maxico na Croatia.
Ndege ilitarajiwa kuondoka Yaounde Saa 3:00 asubuhi kwenda Brazil, wakati Cameroon inacheza mechi yake ya ufunguzi Ijumaa na Mexico.
MJUMBE sr

Post a Comment