Unknown Unknown Author
Title: CAMEROON WAGOMA KWENDA BRAZIL
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Kikosi cha Cameroon Zik...

Kikosi cha Cameroon
Kikosi cha Cameroon
Zikiwa zimebaki siku chache fainaliza kombe la Dunia zianze nchini Brazil wawakirishi wa bara la Afrika Cameroon leo wameingia katika migogoro kati ya wachezaji na viongozi baada ya Wachezaji kugoma kupanda ndege hadi watakapo lipwa posho zao.
Mgomo huo wa wachezaji umetokea leo wakatika timu hiyo ikijiandaa kukwea pipa ili ikajiunge na wapinzani wao katika michuano hiyo inayo fanyikia Nchini Brazil kwa mwaka huu.
Cameroon ipo katika kundi A ambolo linaongozwa na wenyeji wafainali hizo Brazil, Maxico na Croatia.
Ndege ilitarajiwa kuondoka Yaounde Saa 3:00 asubuhi kwenda Brazil, wakati Cameroon inacheza mechi yake ya ufunguzi Ijumaa na Mexico.

MJUMBE sr

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top