Unknown Unknown Author
Title: KWELI SERIKARI YETU BADO INAPENDWA NA WANA NCHI WAKE KWA DHATI TAZAMA PICHA:GARI LA KISERIKARI LATUMBUKIA KWENYE SHIMO/KORONGOTAZAMA PICHA HIZI UONE KILICHO TOKEA!
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Hapa Gari likiwa limesha tumbukia kwenye Shimo hilo ambalo limekuwa kero kwa watumiaji wa barabara Hiyo! Vijana Wakisuma Gari Hilo kw...
Hapa Gari likiwa limesha tumbukia kwenye Shimo hilo ambalo limekuwa kero kwa watumiaji wa barabara Hiyo!
Vijana Wakisuma Gari Hilo kwa makubaliano ya kulipwa Pesa
Hapa wana gawana Fedha iliyo tolewa na Dereva baada ya kunasua Gari

Waki ingia kwenye Gari ili kuendela na Safari.
Picha zote Na Gabriel Ng'osha

MANENO YANGU ILA NAOMBA MSININUKUU TAFADHARI!
Vijana wanapo Geuza Matatizo ya Serikari yao Kama Sehemu ya Kujiingizia Kipato....
Na Serikari Inapo Tumia UMASIKINI wa Vijana wao Kama Fursa ya Kuwapumbaza....!
Ni Jambo Jema.Maana ni sawa na Kuuza Cheni ya Bandia na Ukapewa Fedha ya Bandia.
Miundo Mbinu Yetu Mingi bado imegeuzwa Mitaji ya Wahusika kwani Ukarabati Huanza siku tu Uzinduzi Ukikamilishwa na wale wale walio Zindua Huruhusu Fedha ya Ukarabati itolewe.Fedha hiyo ni Kodi ya Mimi na Wana nchi Wenzangu! ni jasho la walalao hoi na waamkao Hoi.
ELASTO MBELA
MBEYA

MJUMBE Sr


About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top