Unknown Unknown Author
Title: PICHA NA UJUMBE WA LEO JUNE 10 2014:NITAPIKIA KUNI TU....!
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
NITAPIKIA KUNI TU MAISHA MAGUMU,UMEME,MKAA,GAS SIVIWEZI Mkazi wa Dar es Salaam akiwa amebeba kuni eneo la Sinza wakati akizipeleka nyu...
NITAPIKIA KUNI TU MAISHA MAGUMU,UMEME,MKAA,GAS SIVIWEZI
Mkazi wa Dar es Salaam akiwa amebeba kuni eneo la Sinza wakati akizipeleka nyumbani kwake kwa matumizi ya kupikia. Bei juu ya mkaa, umeme, mafuta ya taa na gesi, kumewalazimisha baadhi ya wakazi kutumia kuni kama nishati mbadala.
Gharama za umeme,Mafuta ya taa na gesi zinaendana na maisha ya kawaida ya Mtanzania wa hali ya chini?
MJUMBE Sr

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top