Niwale jamaa wanao jihusha na ujenzi wa nyumba za kisasa,Uuzaji wa Viwanja na mawakala wa Upimaji wa viwanja! SWEET HOME REAL ESTATE CALL IT HOME wana Hitaji kiwanja kilicho pimwa na pia kiwe  Mbeya Mjini.Kiwanja hicho ni kwa ajili ya Kujenga nyumba ya kibiashara itakayo kuwa na vyumba mbalimbali vya kibiashara! Maelezo zaidi Piga :0758001111
posted from Bloggeroid
Post a Comment