ZENU DUA:ALIYE PIGWA RISASI JANA MRS MAKAKA HAJAFA BADO,YUPO HOSPITALINI ANAPIGANIA KUENDELEA KUISHI!!!
Picha ya Gloria Uroki baada ya kukumbwa na mkasa wa kupigwa risasi jana,
Picha ya Gloria Uroki kabla ya mkasa
Picha ya Harusi yake
Tafrani ilizuka Dar es Salaam jana maeneo ya Morocco mida ya saa kumi jioni, Wilaya ya Kinondoni, Dar es Salaam ambako majambazi walipora Sh2 milioni kwa Nuru Patrick aliyeshuka kwenye daladala na mkoba wenye hela, huku mpita njia, Gloria Uroki akikatishwa uhai kwa risasi zilizokuwa zikipigwa hovyo na majambazi hao wakati wanakimbia eneo la tukio
R.IP Gloria Uroki(Taarifa zilizo sambazwa jana)
***********************************************************************************************************************************************************************************************************************************************************************
#TAARIFA MPYA:BREAKIN NEWZZ!!:- HABARI ZA UHAKIKIA ZINASEMA MRS. MAKAKA HAJAFA BADO YUPO HOSPITALINI ANAPIGANA KUENDELEA KUISHI MUNGU AMTANGULIE!! ZENU DUA!!


.jpg)
Post a Comment