Unknown Unknown Author
Title: MWENYEKITI MKOA NA VIONGOZI WA WILAYA WAIKIMBIA ACT NA KUJIUNGA NA CHADEMA
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
 Katika siku za hivi karibuni kumekuwepo na wimbi kubwa la viongozi wa vyama vya siasa kukimbia vyama vyao vya awali na kujiunga na ving...

 Katika siku za hivi karibuni kumekuwepo na wimbi kubwa la viongozi wa vyama vya siasa kukimbia vyama vyao vya awali na kujiunga na vingine,Mkoni morogoro pia wame rudisha kadi za ACT na kukabidhiwa rasmi za CHADEMA,viongozi hao wallio hama ni;
Mwenyekiti wa mkoa wa Morogoro na viongozi wa wilaya ya kilombero kutoka ACT wahamia CHADEMA.

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top