Baada ya Said Arfi;Aliyekuwa makamu mwenyekiti Bara kujiuzuru Cheo chake,ambaye ndiye Mbunge wa Mpanda mjini kwa tiketi ya Chama hicho.Amefikia uamuzi huo baada ya kamati kuu CHADEMA kuwa vua uongozi Mheshimiwa Zitto Kabwe na Dr Kitila Mkumbo na nafasi zao hizo kupewa wengine akiwemo mchungaji Peter Msigwa!
Mjumbe wa tume ya katiba Prof:Baregu naye afuata nyayo za mwenzake,Taarifa zilizo tufikia zina eleza kuwa ametoa kauli ya kujiondoa na kujiuzuru vyeo vyake vyote ndani ya Chama kutokana na Maamuzi yaliyo fanywa na chama hicho.Huyu ni mjumbe wa pili wa kamati kuu ya CHADEMA kuamua kujiuzuruwadhifa wake ndani ya masaa kipindi kisicho zidi masaa 12!
Home
»
»Unlabelled
» CHADEMA VIPANDE VIPANDE! NDANI YA MASAA 12 WAWILI WANG'ATUKA!!!
About Author
The part time Blogger love to blog on various categories like Web Development, SEO Guide, Tips and Tricks, Android Stuff, etc including Linux Hacking Tricks and tips. A Blogger Template Designer; designed many popular themes.
Advertisement
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment