HALIMASHAURI TUNGENI SHERIA,ZITAKAZO WABANA WANAO WAACHISHA SHULE WATOTO;JK MRISHO ASEMA!
Kutokana na wimbi kubwa la vijana wanao katishwa masomo,Mheshimiwa Jakaya Kikwete Rais wa Jamuhuri ya Muungano ameziagiza Halimashauri za wilaya zijitungie sheria ndogo ndogo zitakazo wabana wanao wakatisha masomo wanao kwa visingizio mbali mbali.
Post a Comment