Rais Salva Kiir amesema yupo tayari kusitisha mapigano mara moja lakini hasimu wake bwana Machar amesema mazugumzo zaidi yanahitajika kukubaliana kusitisha mapigano na kwamba yupo tayari kufanya mazungumzo iwapo serikali itakua tayari kuwaachia huru wanasiasa 11 wanaomuunga mkono ambao walikamatwa wakati vurugu zilipotokea.
chanzo:bbc
Na mjumbe jr
Morogoro

Post a Comment