Faustine Shilongile -Kamanda wa mkoa wa Morogoro
Jeshi la Polisi mkoani Morogoro lime fanikiwa kukamata gari dogo aina ya Toyota Spacio likiwa lime beba mwili wa mtu aliye fariki ambaye alitambulika kwa jina la Khalid Kitelu(47) na kukutwa na kete kadhaa za madawa ya kulevya tumboni.
Kamanda wa Polisi mkoani Morogoro Faustine Shilongile amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kusema kuwa wallipewa Taarifa kutoka kwa wasamalia wema ambao wali wona njiani;Gari hilo lilikuwa likitokea Mbeya kwenda Dar es Salaam.
Polisi wakilifanyia Upekuzi Gari linalo Sadikiwa kuwa Lilikuwa lime beba Madawwa ya Kulvya
Polisi wa mkoa waMorogoro wali weka mtego kwenye kituo cha Mikumi na kufanikiwa kulikamata Gari hilo likiwa na Watu Watatu(Majina yame Hifadhiwa) ndani.
Mwili huo ulipelekwa Hospitali na kufanyiwa Uchunguzi na kukutwa na Keta Zaidi ya kumi tumboni mwa Marehemu huyo,Imesemekana Marehemu huyo alifariki Mbeya.
Watu wote watatu ambao wa wawili ni wahusika wa Gari na mmoja ni mfanyabiashara jijini Dar es Salaam mpaka sasa wame shikiliwa na Polisi.
Baadhi ya Kete zilizo kamatwa ndani ya Gari
Mjumbe
Mbeya
Home
»
»Unlabelled
» HATARI SANA:GARI LILILO BEBA MAITI LAKAMATWA LIKIWA NA MADAWA YA KULEVYA!
About Author
The part time Blogger love to blog on various categories like Web Development, SEO Guide, Tips and Tricks, Android Stuff, etc including Linux Hacking Tricks and tips. A Blogger Template Designer; designed many popular themes.
Advertisement
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
.png)


Post a Comment