Unknown Unknown Author
Title: NGURUWE WA MBEYA KIMEO:WALAJI WA KITIMOTO KUKUMBWA NA KIFAFA!! WATAFITI WA SUA WATOA HADHARI.
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
    Profesa Faustini Lekule Chuo kikuu cha Sokoine cha kilimo (SUA),Kina hadharisha walaji wa nyama ya Nguruwe  nchini kuwa wana kabili...

    Profesa Faustini Lekule

Chuo kikuu cha Sokoine cha kilimo (SUA),Kina hadharisha walaji wa nyama ya Nguruwe  nchini kuwa wana kabiliwa na Hatari ya kupata Kifafa.Utafiti wa kisayansi Ulio fanywa SUA Umebaini kuwa baadhi ya nguruwe wana minyoo aina ya Tengu ambao nyama yao ikiliwa  bila kuiva vizuri mlaji atapat minyoo hiyo ambayo huingia kichwani na Kusababisha KIFAFA.

Mhadhiri na mtafiti wa idara ya Sayansi ya Wanyama na Uzalishaji  ya SUA,Profesa Faustine Lekule alisema sampuli za utafiti huo kutoka Mbeya zime baini nguruwe wengi wakiwemo wanao Safirishwa katika miji mikubwa wame athirika na minyoo Hiyo.
"Majibu ya sampuli ambazo wataalam wame zichukua kutoka kwa Nguruwe wa wafugaji kwenye baadhi ya vijiji wame bainika kukumbwa na Hatari hii,Lazima Jitihada zifanyike za kutafuta ufumbuzi wa Tatizo hili kati ya Watafiti,Wafugaji na Serikali";Alisema Profesa Lekule.
Kwa baadhi ya wafugaji wamekuwa wakijisaidia vichakani na kuwa Acha nguruwe kutafuta malisho katika vichaka na kula kinyesi chao hali hiyo huchangia ongezeko la maambukizi ya minyoo ya Tengu.

Athari za kuenea kwa maambukizi hayo ina weza kutoka katika miji mikubwa ikiwemo Dar es Salaam kwa kuwa Nguruwe wa Mbeya  Husafirishwa na kuuzwa maeneo hayo.Hatua hii inaweza kusaidia Kusababisha kusambaa kwa Ugonjwa huu,Hivyo Ushirikiano kati ya Wafugaji,Wafanya Biashara na Watafiti na Wataalamu wa Afya Unahitajika katika kufikia malengo ya kumaliza Changamoto hii;Alisema Profesa Lekule.

Mjumbe sr
Mbeya

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top