Rais Kikwete amekuwa wa kwanza katika michuano ya marais watatu(3) Moja ya sifa alizosifiwa ni Mchango wake katika kusimamia maendeleo ya Tanzania kwenye Nyanja ya Kilimo,Elimu,Miundombinu pia kati…
NEYMAR,MESSI,SUAREZ HAWATASHIRIKI LA LIGA ENDAPO JAMBO HILI LA KISIASA LITATUKIA..
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Siasa ni jambo ambalo limeshikilia hatma ya vitu vingi sana duniani ikiwemo mchezo wa soka ambao una ufuasi mkubwa ulimwenguni kote. Nchini Hispania – Raisi wa chama cha mpira wa miguu nchini Hispa…
TAARIFA RASMI:ACT YAKANA UFADHIRI WA LOWASA;YATOA CHANZO CHA MAPATO YAKE HAPA!
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Taarifa ya Mtunza Hazina wa ACT-Tanzania kuhusu taarifa zilizoandikwa katika Gazeti la Tanzania Daima zikidai kuwa Mhe. Lowasa ndiye mfadhili na mpanga mikakati Mkuu wa ACT-Tanzania. ________________…
AZAM,YANGA HAZIIBUSISUMBUI MBEYA CITY;MWAMBUSI!
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Kocha wa Mbeya City, Juma Mwambusi amesema muda wa wiki nne hadi sita unamtosha kuiandaa timu yake kwa ajili ya msimu ujao, hivyo hakuona haja ya kuendelea na mazoezi wakati Ligi Kuu Tanzania Bara im…
LADY JAY DEE AWASHUKURU MASHABIKI BAADA YA KUPOKEA TUZO ZA AFRIMMA
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Lady Jay Dee ameipokea tuzo ya AFRIMMA ya mwimbaji bora wa kike Afrika Mashariki siku mbili baada ya kutangazwa mshindi wa tuzo hiyo. Baada ya kuishika mkononi tuzo hiyo ambayo inakuwa tuzo yake ya 3…
HIKI NDICHO ALICHOANDIKA DIAMOND PLATNUM KWENYE PAGE YAKE YA FACEBOOK MUDA MCHACHE ULIOPITA
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Japokuwa nina show Canada tareh 2 lakini ilinibidi kwanza nilete Mzigo nlioagizwa na Wananchi Nyumbani kisha ndio nirudi kuendelea na shughuri zangu!... Kama wasemavyo "There is no place like Home...…
BREAKING NEWS:BASI LA MOROBEST LAPATA AJALI NA KUUA WATU 20 NA WENGINE KUJERUHIWA VIBAYA..TAZAMA PICHA HAPA
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Kuna habari ya kusikitisha kwamba zaidi ya watu 20 wamepoteza maisha baada ya basi kutoka Dodoma kugongana na lori Chanzo:Jamii forum …
UPDATES KUHUSU MWANASOKA MWENYE ASILI YA KENYA ALIESAJILIWA LIVERPOOL
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Baada ya juzi usiku kukamilisha usajili wa Dejan Lovren, Liverpool imeendelea kujiimarisha kwa kufanya usajili mwingine ambao umemuhusisha staa alieng’aa kwenye kombe la dunia 2014 akiwa na timu ya t…
WATU 24 WAFARIKI KATIKA "CONCERT" GUINEA
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Watu wasiopungua 24 wamekufa kutokana na mkanyagano wa watu katika maonyesho ya muziki jijini Conakry nchini Guinea.Serikali ya nchi hiyo imetangaza wiki moja ya maombolezo, baada ya kile ilichokiita…
MAGAZETI YA LEO JUMATANO
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
DIAMOND PLATNUM ALAZIMIKA KUBADILI RATIBA YAKE NA KUTUA KESHO ASUBUHI AKITOKEA MAREKANI..SOMA HAPA
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Diamond Platinumz amelazimika kubadili ratiba ya kutua katika uwanja wa ndege wa mwalimu Julius Nyerere akitokea Marekani alikoenda kuwakilisha Tanzania katika tuzo za AFRIMMA na kushinda tuzo ya m…
DIAMOND ALAZIMIKA KUBADILI RATIBA YAKE NA KUTUA KESHO ASUBUHI AKITOKEA MAREKANI KWENYE TUZO ZA AFRIMMA N
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
[image_0 Diamond Platinumz amelazimika kubadili ratiba ya kutua katika uwanja wa ndege wa mwalimu Julius Nyerere akitokea Marekani alikoenda kuwakilisha Tanzania katika tuzo za AFRIMMA na kushinda …
SHAKIRA ADAKA MIMBA TENA...SOMA HAPA KUPATA KILE ALICHONENA GERALD PIQUE..
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Kwa mara nyingine tena familia ya mwanamuziki maarufu duniani imeingia kwenye ‘headlines’ za vyombo vya haari ulimwenguni. Kwa mujibu wa mitandao mbalimbali ukiwemo mtandao wa tracetv unaripoti kwa…
NIKIWA KWA WAZEE HUWA NASHIRIKI SHUGHULI ZA KILIMO PIA
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Hapa nikiwa na bomba la dawa mgongoni naamua kuweka dawa kwenye mazao yangu ili yasiharibiwe na wadudu.. Kama mkulima wa kisasa ninaeogopa hasara lazima nijihami na wadudu haribifu wa mazao.. Na Jr,M…
EBOLA YAWA TISHIO LIBERIA
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Nchi ya Liberia imefunga mipaka yake iliyo mingi ya kuingia nchini humo ili kudhibiti kuenea kwa maambukizi mapya ya ugonjwa Ebola. Hata hivyo katika kuongeza jitihada Zaidi nchi hiyo vituo vya uchun…
ISRAEL:TUTAJILINDA NA HAMAS
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amesema Israel inatakiwa kujiandaa kwa ajili ya mpango wa muda mrefu katika Gaza. Hata hivyo ameelezea msimamo wake dhidi ya kundi la wapiganaji wa Hamas. Net…
ANGALIA ALICHOSEMA DUDUBAYA BAADA YA KUSIKIA KUHUSU DIAMOND NA ALIKIBA
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Dudubaya anajulikana kama mmoja wa Wasanii wa siku nyingi bongoflevani ambae pamoja na headlines zake binafsi huwa anasikika mara chache akizungumzia au kutoa ushauri kwa ishu kadhaa za Wasanii wenza…
RONALDO AMBWAGA TENA MESSI ATWAA TUZO YA MCHEZAJI BORA WA DUNIA
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
CRISTIANO Ronaldo ameshinda tuzo ya Goal 50 ya mchezaji bora wa dunia baada ya kuwa na msimu mzuri wa 2013-14. Mshambuliaji huyo ametwaa tuzo hiyo kwa mara ya tatu kama sehemu ya kuheshimu kazi aliyo…
MAPENZI TELE! TASWIRA YA LUDEWA IJAYO KESHO!
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
TIMU NZIMA YA MJUMBE BLOG INA WATAKIA WAISLAM WOTE POPOTE WALIPO NCHINI NA DUNIANI KWA UJUMLA EID EL FITRI NJEMA!
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Waziri MKuu, Mizengo Pinda akimkaribisha Mchungaji Anthony Lusekelo maarufu kwa jina la Mzee wa Upako ambaye alikuwa ni miongoni mwa walioshiriki katika futari iliyoadaliwa na Waziri Mkuu kwenye ma…
KUMRADHI:MWILI WA DEREVA BAJAJI WAKUTWA MBEZI JIJINI DAR ES SALAAM!
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Ufunguo wa Bajaj aliyokuwa akiendesha marehemu Ras Kiduku. MWILI wa kijana ambaye ni dereva wa Bajaj aliyejulikana kwa jina la Erick maarufu kwa jina la Ras Kiduku umekutwa ukiwa umetupwa eneo la Ki…
TAARIFA RASMI;SERIKARI YASITISHA AJIRA UHAMIAJI! BAADA YA SHINIKIZO LA VYOMBO VYA HABARI!
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
UKRAINE KUJIBU MAPIGO
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Twitter Google+ Tuma kwa rafiki yako Chapisha Wanajeshi wa Ukrain Jeshi la Ukrain limeanza kujihami mashariki mwa nchi hiyo dhidi ya mashambulizi ya waasi wa Urusi kufuatia kutunguliwa kwa ndege ya M…
WAPIGANAJI WA HAMAS WAENDELEZA MAPIGANO YAO!
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Makundi ya wapiganaji wa Hamas yameendeleza mashambulizi zaidi huku pande zote mbili zikishutumiana kuvunja makubaliano ya kusitisha vita hivyo.Kuna taarifa kwamba vikosi vya Gaza na Palestina viliku…